PPC yazindua mradi wake wa ‘SAUTI YANGU, AMANI YANGU, HATMA YANGU.-MY VOICE, MY PEACE, MY FUTURE’

WAANDISHI wa Habri Kutoka Vyombo mbali mbali vya Habari Kisiwani Pemba, wakifuatilia kwa makini taarifa ya uzinduzi wa mradi wa miezi sita unaojulikana kwa jina la Sauti Yangu, Amani Yangu, Hatma Yangu, mradi huo unaotekelezwa na Klabu ya waandishi wa habari Pemba, mkutano uliofanyika Mjini Chake Chake.
MWENYEKITI wa Klabu ya waandishi wa habari Pemba (PPC)Bakar Mussa Juma, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya uzinduzi wa mradi wa miezi sita, unaojulikana kwa jina ya Sauti Yangu, Amani Yangu, Hatma Yangu, mradi huo unaotekelezwa na PPC, FCS na Search For Common Ground kwa ufadhili wa Umoja wa Nchi za Ulaya mkutano uliofanyika Mjini Chake Chake
MWENYEKITI wa Klabu ya Waandishi wa habari Pemba (PPC)Bakar Mussa Juma (katikati) akirusha njiwa kuashiria uzinduzi wa mradi wa miezi sita, unaojulikana kwa jina ya Sauti Yangu, Amani Yangu, Hatma Yangu, mradi huo wa miezi sita unaotekelezwa na PPC, FCS na Search For Common Ground kwa ufadhili wa Umoja wa Nchi za Ulaya mkutano uliofanyika Mjini Chake Chake.
WAANDISHI wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari Pemba, wakifuatilia taarifa ya uzinduzi wa mradi wa miezi sita, unaojulikana kwa jina ya Sauti Yangu, Amani Yangu, Hatma Yangu, mradi huo wa miezi sita unaotekelezwa na PPC, FCS na Search For Common Ground kwa ufadhili wa Umoja wa Nchi za Ulaya mkutano uliofanyika Mjini Chake Chake.(
MWAANDISHI WA Habari kutoka idara ya habari Maelezo Pemba Time Khamis Mwinyi, akizingumza na waandishi wa habari mara baada ya uzinduzi wa mradi wa miezi sita, unaojulikana kwa jina ya Sauti Yangu, Amani Yangu, Hatma Yangu, mradi huo wa miezi sita unaotekelezwa na PPC, FCS na Search For Common Ground kwa ufadhili wa Umoja wa Nchi za Ulaya mkutano uliofanyika Mjini Chake Chake.