PPC wamlilia Magufuli.

  NA ABDI SULEIMAN. KLABU ya Waandishi wa habari Kisiwnai Pemba (PEMBA PRESS CLUB) imesema Tanzania imompoteza kiongozi shupavu aliyekuwa mstari wambele kutetea haki za wanyonge na walemavu. Hayo yameelzwa na Mwenyekiti wa Klabu hiyo Bakari Mussa Juma wakati alipokua akisaini kitabu cha Maombolezo ya aliyekua Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Hayati Dkt.Jaohn…

Rais wa UTPC atua PPC

Viongozi wa Vilabu vya waandishi wa habari nchini wametakiwa  kuwa na mashirikiano ya kutosha na wanachama wa vilabu hivyo ili waweze kutumikia wananchi  kwa ufanisi zaidi. Wito huo umetolewa na Rais wa  Umoja wa Vilabu vya waandishi wa habari Tanzinia   (UTPC ) Deogratias  Nsokolo wakati alipokuwa akizungumza na uongozi wa Klabu ya Waandishi wa habari…