PPC wamlilia Magufuli.
NA ABDI SULEIMAN. KLABU ya Waandishi wa habari Kisiwnai Pemba (PEMBA PRESS CLUB) imesema Tanzania imompoteza kiongozi shupavu aliyekuwa mstari wambele kutetea haki za wanyonge na walemavu. Hayo yameelzwa na Mwenyekiti wa Klabu hiyo Bakari Mussa Juma wakati alipokua akisaini kitabu cha Maombolezo ya aliyekua Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Hayati Dkt.Jaohn…