Wednesday, March 12

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi Amekutana na Mwakilishi Mkaazi wa UNESCO leo Ikulu Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mwakilishi Mkaazi wa UNESCO Nchini Tanzania.Bw.Tirso Dos Santos (kulia kwa Rais) wakiwa katika ukumbi wa Ikulu wakati wa mazungumzo yao  na (kulia) Ofisa wa Utamaduni UNESCO Tanzania Bi. Nancy Lazaro Mwaisaka

NA Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein  Ali Mwinyi ameipongeza azma ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulkia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) ya kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika ujenzi wa jengo la Beit al Ajaib baada ya kuporomoka sehemu kubwa ya jengo hilo hivi karibuni.

Dk. Mwinyi aliyasema hayo leo Ikulu Jijini Zanzibar wakati alipokuwa na mazungumzo na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Bw.Tirso Dos Santos.

Rais Dk. Mwinyi alimueleza Mwakilishi huyo wa (UNESCO) kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inathamini sana uhusiano na ushirikiano uliopo kati yake na Shirika hilo, hivyo hatua yake hiyo ya kuinga mkono Zanzibar katika kulifanyia matengenezo jengo la Beit al Ajaib ni uthibitisho mkubwa.

Alieleza kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilianza kuchukua hatua za makusudi mara tu baada ya kutokea tukio hilo ikiwa ni pamoja na kuunda Kamati ya Uchunguzi ya sababu zilizopelekea kuanguka kwa jengo hilo la Beit al Ajaib huku yeye mwenyewe akikutana na Wadau wa Mji Mkongwe kujadili tukio hilo kwa azma ya kutafuta ufumbuzi.

Rais Dk. Mwinyi alitoa ushauri kwa Shirika la (UNESCO) wa kuyafanyia tathmini majengo yote ya Mji Mkongwe wa Zanzibar ili yasiendelee kuleta athari zaidi.

Rais Dk. Mwinyi alisema kuwa azma na utayari wa Shirika la (UNESCO) wa kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kulijenga jengo hilo la kihistoria ina umuhimu mkubwa katika kuurejeshea hadhi yake Mji Mkongwe wa Zanzibar ambao umo katika urithi wa dunia.

Pia, Rais Dk. MwinyialifurahishwanaazmayaShirikahilo la kuwaletawataalamukwaawamutatuhapa Zanzibar ambapokilaawamuitakuwanawataalamu wake ambapoinaoneshaazmasahihiya (UNESCO) yakushirikianana Zanzibarkatikakulijengatenajengohilokwamtazamo wake waasilinakwakiwangokilicho borazaidi.

Aidha, Dk. MwinyialimuelezaMwakilishihuyowa (UNESCO) kwambaSerikalianayoiongozaitahakikishainatoaushirikianomkubwakwatimuhizozawataalamuwatakaokujakufanyashughulihiyohapa Zanzibar ikiwanipamojanakuwawekeamazingiramazuriyashughulizao.

Sambambanahayo, Rais Dk. MwinyikwaupandemwenginealilipongezaShirikahilokwaazmayakeyakulifanyiaukarabatijengo la sinemaya MajesticambapotayarinusuyafedhazaujenzihuokwamujibuwaMwakilishihuyozimeshapatikana.

AlielezakuwaShirikahilolimewezakushirikianana Zanzibar kwamudamrefuhatuaambayoimepelekeakuimarikakwamiradimbalimbaliambayo (UNESCO) inaiungamkonoikiwemomiradiyaelimu, utamaduni, afyanamengineyoambayoimepatamafanikiomakubwahapa Zanzibar.

Aidha, Rais Dk. MwinyialitumiafursahiyokulipongezaShirikahilokwakuendeleakushirikianana Zanzibar nakuahidikuwaSerikaliyaMapinduziya Zanzibar itaendeleakushirikiananaShirikahiloilikutekelezamalengoyaliokusudiwa.

MapemanaMwakilishihuyowaShirika la UmojawaMataifalinaloshughulikiaElimu, SayansinaUtamaduni (UNESCO) Tirso Dos Santos, alimuelezaRais Dk. MwinyikuwaShirikahilolinaazmayakulifanyiama     ujenzijengo la Beit-al -Ajaibililirudikatikauhalisia wake kwakushirikiananaSerikaliyaMapinduziya Zanzibar.

Mwakilishihuyo,alimuelezaRais Dk. MwinyikuwaShirikahilolitaanzakuletawataalamu wake kwaajiliyamradihuoambaowataanzakujamnamoJanuari 18 mwakahuuambaowatakujakwaawamutatuilikuhakikishalengolililokusudiwalinafanikiwatenakwamudauliopangwanaufanisimkubwa.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Mwakilishi Mkaazi wa UNESCO Nchini Tanzania Bw, Tirso Dos Santos. (kulia kwa Rais) baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar Mhe.Lela Mohammed Mussa na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kingozi Mhendisi Zena Ahmed Said na (kulia) Ofisa Utamaduni wa UNESCO Tanzania Bi. Nancy Lazaro Mwaisaka

AlimuelezaRais Dk. Mwinyikwamba (UNESCO) itahakikishainafuatataratibuzotekatikakuhakikishaujenzihuoufanywakwataratibuzotezaKimataifabilayakuathiri mambo mengine.

Pia, Mwakilishihuyowa (UNESCO), alimuelezaRais Dk. Mwinyikwambabaadayatimuhizozawataalamukukamilishakazizaoujenziwajengohiloutaanzamaramojahukuakimuelezakuwaamepokeaushaurinawazo la kuyafanyiatathminimajengoyaMjiMgongwewa Zanzibar.

Pamojanahayo, Mwakilishihuyowa (UNESCO), alimuelezaRais Dk. MwinyikwambaShirikahilolikotayarikulifanyiaukarabatimkubwajengo la sinemaya Majestic ambalo limo katikaMjiMkongwewa Zanzibar natayarinusuyafedhazaukarabatiwajengohilozikotayari.

MwakilishihuyoalimpasalamuzarambirambizilizotumwanaMkurugenziMkuuwaShirikahilo Bi Audrey AzoulaypamojanaMkurugenziwaKituo cha Kimataifa cha UrithiwaDunia BiMechtildRossierkufuatiakuporomokakwajengo la Beit al Ajaibnakupelekeavifopamojanamejeruhikadhaa.

Sambambanahayo, kiongozihuyoalitoapongezikwaRais Dk. Mwinyipamojanawananchiwotewa Zanzibar kwakuadhimishamiaka 57 yaMapinduzimatukufuyaJanuari 12, 1964 hukuakisisitiza (UNESCO), itaendeleakuiungamkono Zanzibar katikamiradiyakembalimbaliiliiwezekuletatijanaufanisi.

Sehemukubwayajengola  Beit el JaaibliliopoForodhaniJijini Zanzibar ambalonimiongonimwamajengoyaurithiwaduniaambapopia,nimiongonimwamajengoyanayotambuliwana (UNESCO) liliporomokaIjumaayaDisemba 25, mwakajana 2020likiwalinaendeleakufanyiwaukarabati.