Thursday, February 27

afya

Serikali itaendelea kujenga hospitali, kuimarisha huduma za afya 
afya

Serikali itaendelea kujenga hospitali, kuimarisha huduma za afya 

NA ZUHURA JUMA, PEMBA RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema, Serikali ya Mapinduzi Zanzibar itaendelea kujenga hospitali na vituo vya afya vyenye vifaa vya kisasa ili kuwapatia huduma bora za afya wananchi wake. Akizungumza wakati akifungua hospitali ya Wilaya iliyopo Kinyasini Wilaya ya Wete, Dk. Mwinyi alisema tayari zimeshajengwa hospitali  za Wilaya kwa unguja na Pemba huku Serikali ikiendelea kujenga hospitali za mikoa, rufaa na mwanzo (dispensaries na vituo vya afya) ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma za afya bila ya usumbufu. Alisema kuwa, ujenzi wa hospitali hizo na vituo vya afya vitawapunguzia wananchi kwenda masafa marefu kuifuata huduma hiyo, sambamba ya kupata huduma bora kutokana na vifaa vya kisasa vilivy...
Mkurugenzi TAMWA ZNZ- “Wataalam wa Afya washirikiane na waandishi wa habari jamii ielewe haki ya Afya ya Uzazi”
afya

Mkurugenzi TAMWA ZNZ- “Wataalam wa Afya washirikiane na waandishi wa habari jamii ielewe haki ya Afya ya Uzazi”

MKURUGENZI wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, TAMWA ZNZ ametoa wito kwa wataalam sekta ya afya, kuendelea kutoa ushirikiano kwa waandishi wa habari katika kutoa taarifa sahihi, kuhusiana na masuala ya afya ya uzazi  ili jamii  iweze kuvunja ukimya, na  taarifa hizo kuwafiikia vijana ili waweze kujikinga na madhara yanayoweza kuwapata kutokana na kukosa elimu ya masuala hayo. Dkt.  Mzuri aliyasema hayo akifungua mkutano wa wadau wa habari na wataalam wa afya wenye lengo la kuwasilisha ripoti ya utekelezaji wa mradi wa utetezi wa masuala ya afya ya uzazi kwa kutumia vyombo vya habari. Alieleza ili kufikisha elimu sahihi ni lazima kuweka na kuripoti takwimu za masuala haya, ikiwemo vifo vya mama na watoto, mimba za utotoni. Aidha pia aliongeza kuwa kutoa elimu ya mnyambu...
Watu wenye ulemavu wa akili walalamika kutokushirikishwa katika maendeleo.
afya

Watu wenye ulemavu wa akili walalamika kutokushirikishwa katika maendeleo.

Na Amina Ahmed Moh'd-Pemba. WATU wenye ulemavu wa Akili kisiwani Pemba wameiomba Serikali pamoja na wadau kuwaunga mkono katika shughuli zao  wanazozifanya ili waweze kujipatia kipato na kujikomboa na umaskini. Wakizungumza kwa  nyakati tofauti baadhi ya watu hao wamesema licha ya kujishughulisha na shughuli mbali mbali lakini bado serikali na wadau wamekuwa wakilisahau kundi hilo  katika kuwaendeleza  kiuchumi kama yalivyo makundi mengine ya watu wenye ulemavu. "Najishugulisha na kilimo cha miche ya mivinje, miti ya kudumu na mboga mboga , Nishaepeleka barua wizara ya kilimo juu ya kuja kunitembelea walau kuniongezea maarifa katika kilimo changu hicho lakini hakuna hata mmoja aliyewahi  kuja ". Fursa za mikopo hazitufikii kama walemavu wengine tumekuwa tukiachwa nyu...