Friday, March 14

ELIMU

UPO umuhimu mkubwa wa kumiliki na kusajili kwa jamii kisheria
ELIMU, Kitaifa, Wanawake & Watoto

UPO umuhimu mkubwa wa kumiliki na kusajili kwa jamii kisheria

NA ABDI SULEIMAN. AFISA Usajili ardhi na utoaji wa hati miliki kutoka Kamisheni ya Ardhi Pemba Yussuf Hamad Kombo, amesema    ili kuweza kupunguza migogoro ya ardhi katika jamii na wanawake kupata haki zao kisheria. Alisema ardhi ni rasilimali pekee ambayo inamsaidia mtu baada ya kuisajili kisheria, kwani anamuondoshea matatizo mbali mbali ikiwemo kuepusha na migogoro. Afisa huyo aliyaeleza hayo mjini chake chake, katika mkutano wasiku moja ulioyashirikisha mabaraza ya ardhi ya wanawake Mkoa wa kusini Pemba, kupitia mradi wa uhamasiahaji wa upatikanaji wa haki za usimamizi wa ardhi kwa wanawake, unaotekelezwa na jumuiya ya PECEO kwa ufadhili wa FCS. Alisema kamisheni ya ardhi inaongozwa na sheria saba (7)zote zinahakikisha ardhi ardhi inakuwa salama na serikali ndio mmiliki wa ar...
Skuli ya Msingi Mchangamoto yaondokana na kadhia ya maji safi na salama.
ELIMU, Kitaifa

Skuli ya Msingi Mchangamoto yaondokana na kadhia ya maji safi na salama.

NA ABDI SULEIMAN. MBUNGE wa Jimbo la Kojani Hamad Hassan Chande, amesema kuzinduliwa kwa mradi wa maji safi na salama katika skuli ya Msingi Mchangamoto, utaweza kuwaondoshea shida wanafunzi wa juu upatikanaji wa huduma hiyo nje ya skuli. Alisema kwa sasa wanafunzi wa skuli hiyo hatosumbuka tena katika suala la uhitaji wa maji, kwani maji watayapata ndani ya skuli yao na haitokua na haja ya kutoka nje. Mbunge Chande pia ni Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, aliyaeleza hayo katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa huo wa maji safi na salama, uliojengwa kupitia ufadhili wa Rehema Foundation. Alisema uwepo wa mradi huo wa maji utaweza kluwafanya wanafunzi kufanya vizuri katika masomo yao, kwani suala la amaji lina umuhimu mkubwa hususana kwa wanafunzi. “Hapa wanafunzi walikuwa wakisumb...
Serikali itaendelea kuhakikisha wanafunzi wanapata elimu katika mazingira mazuri
ELIMU

Serikali itaendelea kuhakikisha wanafunzi wanapata elimu katika mazingira mazuri

Na Maulid Yussuf na Fat-hiya Mohammed, WEMA Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar  Mhe. Simai Mohammed Said amesema Serikali ya awamu ya nane itaendelea kuhakikisha Wanafunzi wote wanapati elimu katika mazingira mazuri na salama. Amesema hayo wakati alipofanya ziara Katika Skuli ya Sekondari Kwarara  Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja na kuzungumza na Wanafunzi  wa kidato cha pili ambao wanarudia darasa baada ya kukosa vigezo vya kuungia kidatu cha tatu. Amesema  Wizara inaendelea na juhudi za kuwataka Walimu kuhakikisha wanakua karibu na Wanafunzi ili waweze kutoa hisia zao kwani hali hiyo itasaidia kujua mbinu za kuweza kujua ni namna gani wataweza kuhakikisha Mwanafunzi anafaulu vizuri. Amesema kutokana na umuhimu wa elimu kuna haja ya kushirikiana baina ya wazazi, wali...
Skuli ya Ole Msingi yanyamazishwa kilio cha muda mrefu.
ELIMU, Kitaifa

Skuli ya Ole Msingi yanyamazishwa kilio cha muda mrefu.

NA ABDI SULEIMAN. BAADA ya kilio cha muda mrefu kwa wanafunzi, wazazi na walimu wa skuli ya Ole Msingi, hatia Mwakilishi wa Viti maalumu UWT wasomi Mkoa wa Kusini Pemba, Lela Mohamed Mussa amekabidhi matundu 12 ya vyoo vya Kisasa vyenye thamani ya shilingi Milioni 40,000,000/=. Alisema vyoo hivyo licha ya kutokukidhi mahitaji ya wanafunzi wote, lakini kwa hatua ya kwanza vitaweza kuwaondoshea usumbufu wakufuata huduma hiyo majumbani, au baadhi ya wanafunzi kujisaidia msikitini na vichakani. Mwakilishi huyo aliyaeleza hayo katika hafla ya kukabidhi vyoo hivyo, iliyofanyika skuli ya Ole Msingi na kuhudhuriwa na wanafunzi, walimu na viongozi wa kamati ya skuli. “Sote ni Mashahidi wanafunzi, walimu na wazazi muda mrefu skuli yetu imekosa huduma hizo, wanafunzi wetu wakipata sh...
NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2021, KIDATO CHA PILI, DARASA LA NNE NA QT
ELIMU, Kitaifa

NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2021, KIDATO CHA PILI, DARASA LA NNE NA QT

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) leo Jumamosi, Januari 15, 2022 limetangaza matokeo ya Upimaji wa Kitaifa kidato cha Nne, mitihani iliyofanyika Novemba 2021. NECTA pia imetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne, mtihani wa maarifa, kidato cha pili na darasa la nne. Bonyeza kila kiungio hapa chini kuona matokeo husika; MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2021 MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2021 MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2021 MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2021