Friday, March 14

ELIMU

PPC yapongezwa kuhamasiaha Amani katika jamii
ELIMU, Kitaifa

PPC yapongezwa kuhamasiaha Amani katika jamii

NA ABDI SULEIMAN. WANANCHI wa Shehia ya Wawi Wilaya ya Chake Chake Mkoa wa Kusini Pemba, wameipongeza Jumuiya ya waandishi wa habari Pemba (PPC),kwa maamuzi yao ya kuelimisha jamii juu ya suala zima la utunzaji wa Amani iliyopo nchini. Wamesema ni jumuiya chache zenye moyo wa kufanya jambo kubwa kama hilo, kupita katika shehia mbali mbali na kuhamasisha jamii juu ya suala zima la utunzaji wa amani. Kauli hiyo imetolewa na sheha wa shehia hiyo, Sharifa Waziri Abdalla, wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wazi juu ya kuelimisha jamii kuhusu masuala ya Amani, Umoja na Mshikamano, kupitia mradi wa SAUTI YANGU, AMANI YANGU, HATMA YANGU, naotekelezwa na PPC wakishirikiana na Foundation for civil society na Search for common groud, kwa ufadhili wa umoja wa nchi za ulaya. Sheha sharifa ali...
Dk.Mwinyi amesema ufunguzi wa madarasa katika skuli ya msingi Sebleni,ni kielelezo cha dhamira ya Serikali katika kukabiliana na changamoto ya miundombinu inayozikabili skuli mbali mbali nchini.
ELIMU

Dk.Mwinyi amesema ufunguzi wa madarasa katika skuli ya msingi Sebleni,ni kielelezo cha dhamira ya Serikali katika kukabiliana na changamoto ya miundombinu inayozikabili skuli mbali mbali nchini.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema ufunguzi wa madarasa katika Skuli ya msingi Sebleni, ni kielelezo cha dhamira ya Serikali katika kukabiliana na changamoto ya miundombinu inayozikabili skuli mbali mbali hapa nchini.   Dk. Mwinyi amesema hayo katika hafla ya Ufunguzi wa Madarasa sita  ya Skuli ya Msingi Sebleni, Mkoa wa Mjini Magharibi.   Amesema ujenzi wa madarasa hayo uliofanyika kwa mashirikiano kati ya Serikali, Viongozi wa Jimbo na wananchi ni miongoni mwa juhudi za kuzifanyia kazi changamoto mbali mbali zinazokabili skuli hapa nchini.   Alisema lengo la Serikali ni kuhakikisha watoto wote nchini; Mjini na vijijini wanatumia haki yao ya kupata elimu katika mazingira bora.   Alitumia fursa hi...
ELIMU

MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA MWAKA 2021

https://moez.go.tz/zanexamresult/index.php BARAZA LA MITIHANI LA ZANZIBAR MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA   MATOKEO YA MWAKA 2021  Matokeo ya Kidato cha Pili  Matokeo ya Darasa la Sita  Matokeo ya Darasa la Nne