Thursday, March 13

ELIMU

WATOTO kusoma ni haki yao na sio kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji “Siti Habib kutoka ZLSC
ELIMU, Kitaifa, Wanawake & Watoto

WATOTO kusoma ni haki yao na sio kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji “Siti Habib kutoka ZLSC

  NA ABDI SULEIMAN, PEMBA WAZAZI na walimu wameshauriwa kuwalinda watoto dhidi ya udhalilishaji na kuepuka kuwa miongoni mwa watendaji wa matendo hayo. Akizungumza na wanafunzi katika skuli ya Maandalizi Madungu Chake Chake, mwanasheria kutoka Kituo cha Huduma za Sheria (ZLSC) Pemba Siti Habib Mohamed alisema, ipo haja ya kuwasaidia watoto wasifanyiwe udhalilishaji wanapokuwa skuli, madrasa na nyumbani. Alisema kuwa, ni jukumu la kila mmoja kuhakikisha watoto wanakuwa salama muda wote, huku wazazi na walimu wakiepuka kuwafanyia watoto hao udhalilishaji, kwani inaaminika kwamba wanakuwa kwenye mikono salama. “Utasikia mwalimu au mzazi anambaka mtoto, kwa kweli inahuzunisha sana, kwa sababu hatujui sasa watoto waelekee wapi, zile sehemu ambazo tunaona ni salama kw...
JET yatoa elimu ya uhifadhi , maliasili kwa waandishi wa habari Tanzania
ELIMU, MAZINGIRA

JET yatoa elimu ya uhifadhi , maliasili kwa waandishi wa habari Tanzania

NA ABDI SULEIMAN. MWENYEKITI wa Chama cha Waandishi wa habari za Mazingira Tanzania, (JET) Dr.Ellen Otaru, amesema kazi kubwa iliyopo ni kutoa elimu na ushirikishwaji wa vijana na wanawake, katika ulinzi na uhifadhi wa mazingira na maliasili kwa maendeleo endelevu. Alisema matumizi mabaya ya mazingira hupelekea wanyama na viumbe mbali mbali kupotea na baadhi yao kufariki, hayo yanatokana na matumizi mabaya ya mazingira yanayofanywa na binaadamu. Akizungumza katika mkutano uliowashirikisha waandishi wa habari za uhifadhi, uwindaji haramu wa wanyamapori na usafirishaji, kupitia mradi wa USAID Tuhifadhi Maliasili, unaotekelezwa na Chama cha Waandishi wa habari za Mazingira Tanzania (JET). Alisema asilimia 40% ya watanzania ni Vijana ndio tegemeo la taifa, huku miundombinu ya ...
MASHEHA Wete waitaka ZECO
Biashara, ELIMU, Kitaifa

MASHEHA Wete waitaka ZECO

NA ABDI SULEIMAN. MASHEHA wa Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wamelitaka shirika la umeme Zanzibar ZECO Tawi la Pemba, kuacha kuwafumbia macho wanaoharibu miundombinu ya umeme na kupelekea kulitia hasara shirika na serikali kwa ujumla. Walisema kumekuwa na wananchi huharibu miundombinu ya umeme kwa makusidi, pamoja na wanaiba umeme kwa kujiungia kinyume na sheria jambo ambalo limekua likiendelea kutokea mara kwa mara. Masheha hao waliyaeleza hayo wakati wa kikao maalumu cha kuorodhesha vijiji ambavyo havijafikiwa na huduma ya umeme, ili waweze kupatiwa huduma hiyo kama vilivyo vijiji vynengine. Mrisho Juma Mtwana sheha wa shehia ya Mtemani, alisema shirika la umeme ZECO linapaswa kuwachukulia hatua wale weote wanaoharibu miundombinu ya umeme katika laini kubwa, sa...
IDARA ya Katiba na msaada wa Kisheria wawafikia wananchi kisiwa cha Fundo
ELIMU, Kitaifa, Sheria

IDARA ya Katiba na msaada wa Kisheria wawafikia wananchi kisiwa cha Fundo

  NA ABDI SULEIMAN. WANANCHI Kisiwa cha Fundo Wilaya ya Wete Kisiwani Pemba, wamesema ipo haja sasa kupitiwa upya kwa sheria NO:6 ya 2018 ya Makosa ya Jinai kifungu Namba 108, ili iweze kuwatia hatiani wahusika wote wawili wa matendo hayo(Mwanamke na Mwanamme) na sio kama ilivyo sasa. Wananchi hao wamesema matendo hayo ya udhalilishaji na ubakaji wa wanawake na watoto, hayatoweza kupungua iwapo sheria hiyo kama itaendelea kumtia hatiani mtuhumiwa wa kiume Pekee na kumuwacha wa kike. Wakitoa maoni yao katika mkutano wa kutoa elimu kwa jamii, katika siku 16 za kupinga masuala masuala ya udhalilishaji wa jinsia, kwa wananchi wanaishi katika kisiwa cha Fundo Wilaya ya Wete, mkutano ulioandaliwa na Idara ya Katiba na Msaada wa Kisheria Zanzibar. Mwajuma Rash...