Saturday, March 15

Kimataifa

Euro 2020: Wachezaji hawa wana asili ya ukanda wa Afrika Mashariki
Kimataifa, Michezo

Euro 2020: Wachezaji hawa wana asili ya ukanda wa Afrika Mashariki

Mashindano ya Euro 2020 yanaendelea katika mjiji 11 barani Ulaya, ni mashindano yanayoshirikisha wachezaji 622 kutoka mataifa 24 barani humo. Kizuri kati ya wachezaji hawa, wako wachezaji 55 wenye asili ya Afrika wanaowakilisha mataifa ya Ulaya. Timu ya taifa ya Ufaransa ina wachezaji 12 wenye asili ya Afrika akiwemo Ngolo Kante mwenye asili ya Mali, Kylian Mbappe (Cameroon) Karim Benzema (Algeria) na Paul Pogba (Guinea), Huku Finland na Ujerumani zikiwa na wachezaji wengi pia weye asili ya Afrika. Mfano Ujerumani ina Antonio Rudiger (Sierra Leone), Serge Gnabry (Ivory Coast), Jamal Musiala (Nigeria) na Leroy Sane, ambaye baba yake aliwahi kucheza ligi ya Ujerumani ana asili ya Senegal. Ukiacha hao na wengine maarufu kama David Alaba nahodha wa Austria mwenye asili ya Nig...
Licha ya uzuri wake maeneo haya matano duniani mwiko kuyatembelea
Kimataifa

Licha ya uzuri wake maeneo haya matano duniani mwiko kuyatembelea

Dunia imebarikiwa kuwa na maeneo mengi ya kuvutia, ambayo hukusanya watu wa mataifa mbalimbali kuyatembelea. Kawaida vivutio vingi vinawekewa utaratibu ukiwemo wa utunzaji na malipo. Mwaka 2019, sekta ya utalii duniani ilichangia asilimia 10.4% ya pato ghafi la dunia. Lakini yapo maeneo mazuri yangeweza kuchangia zaidi, ila ni marufuku kukanyaga. Mamilioni ya watalii hutembelea hifadhi za wanyamapori, milima mirefu, majumba ya kale, maeneo ya utamaduni na maeneo mengine yanayowavutia. Lakini yapo maeneo duniani ambayo watalii wangetamani kutembelea lakini kwa sababu ya sifa zake na historia yake yanaleta kikwazo. Mengi yamekuwepo bila kutunzwa kitalii lakini yanavutia kwa historia yake na vilivyomo. Mengine ni wanasayansi tu huruhusiwa kuyafikia kwa mashar...
Mata Hari:Wengi walifiriki alikuwa mcheza densi kumbe alikuwa jasusi mkuu wa Hitler
Kimataifa

Mata Hari:Wengi walifiriki alikuwa mcheza densi kumbe alikuwa jasusi mkuu wa Hitler

Wengi walimuona kama mchezaji densi na mnenguaji hatari wa mauno .Alikuwa amejenga msururu wa wapenzi katika nyadhifa kubwa kubwa za serikali nyingi za bara Uropa. Hakuna aliyemshuku Mata Hari -Jasusi maarufu sana wa kike ambaye sasa mengi kumhusu yamefichulia Asubuhi ya 15 Oktoba 1917 gari la kijeshi la rangi ya kijivu liliondoka kwenye gereza la Saint-Lazare katikati mwa Paris. Ndani yake akifuatana na watawa wawili na wakili wake, alikuwa mwanamke wa Uholanzi mwenye umri wa miaka 41 aliyevaa kanzu ndefu na kofia pana,. Muongo mmoja mapema mwanamke huyu alikuwa na ameiteka mikononi miji mikuu ya Ulaya. Alikuwa jasusi maarufu wa kike katika kile kinachojulikana kwa kiingereza kama "femme fatale" na alitambulika kwa kucheza densi na wapenzi wake walikuwa ni pamoja ...
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 05.07.2021: Pjanic, Umtiti, Ronaldo, Mendy, Ryan, Willock
Kimataifa, Michezo

Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 05.07.2021: Pjanic, Umtiti, Ronaldo, Mendy, Ryan, Willock

Wakala wa Cristiano Ronaldo Jorge Mendes anafanyia kazi mpango wa kuongezwa kwa mkataba nyota huyo wa kusalia Juventus kwa mwaka mmoja zaidi utakaomfunga mshambuliaji huyo wa Ureno kuendelea kukipigia klabu hiyo ya Serie A mpaka mwaka 2023. Hivyo klabu ambazo zilikuwa zinamyatia mshambuliaji huyo kama Man United itabidi zisubiri mpaka 2023. (Gazzetta dello Sport - in Italian) Barcelona wako tayari kukatisha mikataba ya wachezaji wake Mbosnia Miralem Pjanic, 31 na mlinzi Mfaransa Samuel Umtiti, 27 ambao wanaonekana hawako kwenye mipango ya Meneja Ronald Koeman. (Goal) Pjanic anahusishwa na uhamisho wa kuelekea Tottenham, ambao wanaotaka kumsaini kuwapiku Manchester United wanaomuhusudu kwa muda mrefu kiungo huyo. (Express) Maelezo ya picha,Umti...