NCHI ZILIZOENDELEA ZAOMBWA KUZISAIDIA NCHI ZINAZOENDELEA KUHIMILI MABADILIKO YA TABIANCHI
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Hamad Hassan Chande akizungumza wakati akizindua Maonesho ya Mabadiliko ya Tabianchi Mei 18, 2021 katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Saalam yaliyoandaliwa na EU kwa kushirikiana na Tanzania. Kushoto ni Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Mhe. Manifredo Fanti.
Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Mhe. Manifredo Fanti akizungumza wakati wa Maonesho ya Mabadiliko ya Tabianchi Mei 18, 2021 katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Saalam yaliyoandaliwa na EU kwa kushirikiana na Tanzania. Katikati ni Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Hamad Hassan Chande.
Balozi wa Umoja wa Ulaya (EU) nchini Mhe. Manifredo Fanti akimpitisha Naibu Waziri Ofisi ya Makamu w...