Saturday, March 15

Kimataifa

Virusi vya corona: Je taifa la Tanzania linakabiliwa na mlipuko uliojificha?
afya, Kimataifa

Virusi vya corona: Je taifa la Tanzania linakabiliwa na mlipuko uliojificha?

Licha ya ushahidi kuonyesha kinyume, serikali ya Tanzania imeendelea kupuuzilia mbali athari ya virusi vya corona katika taifa hilo. Hakuna takwimu rasmi Hakuna takwimu za karibuni kuhusu vifo vinavyotokea Tanzania, na hakuna taarifa zozote zilizotolewa na serikali kuhusu athari za virusi vya rasmi tangu Mei mwaka jana, ambapo takriban visa 500 vya maambukizi vilikuwa vimeripotiwa na vifo 20 kufikia wakati huo. Serikali imesisitiza kwamba hakuna haja ya kuwa na wasiwasi, na imekuwa ikiwachukulia hatua wale inaowatuhumu kwa kueneza "taarifa za uzushi". CHANZO CHA PICHA,AFP Maelezo ya picha,Rais Magufuli amekataa kutekeleza mpango wa chanjo na badala yake amekuza utumizi wa dawa za kitamaduni Tulipowasiliana na naibu waziri wa afya Go...
Virusi vya corona: Mambo nane tuliojifunza ndani ya mwaka mmoja wa janga la corona
afya, Kimataifa

Virusi vya corona: Mambo nane tuliojifunza ndani ya mwaka mmoja wa janga la corona

  Wakati mtu wa kwanza aliyepata Covid-19 (Sars-CoV-2) ilipobainika mwaka mmoja uliopita, virusi hivyo viliwafanya wanasayansi, madaktari na wagonjwa kushindwa kuuelewa ugonjwa. Mwaka mmoja sasa tangu janga hili litokee, limesababisha vifo vya watu zaidi ya milioni 2.6 na wengine milioni 117 kuambukizwa duniani kote. Lakini katika wakati huu wote , madaktari na wanasayansi wamekuwa wakikusanya ushahidi wa namna ya kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 kuhusu virusi vipya vya corona - na sasa tunafahamu zaidi kuhusu ugonjwa huo na namna unavyoambukizwa, na namna utakavyoweza kutibiwa vyema. Haya ni mambo nane ambayo tumejifunza kuhusu virusi vya corona: 1. Jinsi barakoa ilivyokuwa muhimu kujikinga na Covid-19 CHANZO CHA PICHA,GETTY IMAGES ...
Ndege mzee zaidi duniani Wisdom apata kinda akiwa na miaka 70
Kimataifa

Ndege mzee zaidi duniani Wisdom apata kinda akiwa na miaka 70

Ndege mwenye umri mkubwa duniani amejifungua kifaranga akiwa na umri wa miaka 70. Ndege huyo wa aina ya laysan albatross alipata kinda huyo tarehe mosi Februari katika kambi moja ya wanyama pori. Ndege aina ya laysan albatrosses huishi kati ya miaka 12 hadi 40 . Lakini Ndege huyo kwa jina Wisdom kwa mara ya kwanza aligunduliwa na watafiti mwaka 1956. Babake kwa jina Akeakamai ni mshirika wake, ambaye amekuwa naye tangu 2012 , kulingana na maafisa wa shirika la wanyamapori nchini Marekani. Inaaminika kwamba Wisdom alikuwa na washirika wengine awali ambao aliishi muda mrefu kuwaliko. Ijapokuwa Wisdom alipata kinda wake mwezi februari , kuanguliwa kwa mtoto huyo kumeripotiwa wiki hii. Wisdom alitaga mayai yake mnamo mwezi Novemb...
UBALOZI wa Tanzania Oman wafungua maobolezo kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad
Kimataifa, Kitaifa

UBALOZI wa Tanzania Oman wafungua maobolezo kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad

Ubalozi wa Tanzania mjini muscat Oman umefungua maombolezi ya kifo cha Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Marehemu Maalim Seif Sharif Hamad. Maombolezi hayo yalifanyika kwa muda wa siku mbili huko nyumbani kwake Mh.Balozi Abdallah Kilima na viongozi na mabalozi wa  nchi mbali mbali kuhudhuria  kwenye maombolezi hayo.   CHANZO CHA HABARI MICHUZI BLOG
Virusi vya corona: Maswali 4 ambayo hayajajibiwa kuhusu chanjo ya corona
afya, Kimataifa

Virusi vya corona: Maswali 4 ambayo hayajajibiwa kuhusu chanjo ya corona

Kukimbizana na muda. Hivi ndivyo tunavyoweza kuelezea uhamasishaji wa chanjo kwa wakazi wa dunia dhidi ya virusi vya corona na kurejesha hali ya kawaida kwa haraka iwezekanavyo. Hadi kufikia tarehe 23 Januari, zaidi ya watu milioni 60 walikuwa tayari wamepata baadhi ya dozi za chanjo dhidi ya virusi vya corona. Lakini kadri nchi zaidi zinavyoanza au kuharakisha kampeni, mambo kadhaa yanasalia kutofahamika . Bado haijawekwa wazi ni muda gani kinga ya chanjo inadumu baada ya kutolewa au kama aina mpya ya virusi ambayo imejitokeza kote duniani itakuwa sugu na kuifanya chanjo kutokuwa na ufanisi. Takriban miezi miwili baada ya mpango mkubwa wa utoaji wa chanjo ya watu wengi kwa mkupuo ambao haujawahi kushuhudiwa katika historia, tunaangazia maswali yana...