Thursday, February 27

Kimataifa

Urusi na Iran: Uhusiano mgumu kati ya wapinzani wawili wa kihistoria ambao wanaungana kukabiliana na Magharibi
Kimataifa

Urusi na Iran: Uhusiano mgumu kati ya wapinzani wawili wa kihistoria ambao wanaungana kukabiliana na Magharibi

Urusi imesalia kuwa kisiwa baada ya kutengwa na mataifa mengi duniani baada ya uvamizi wake wa Ukraine, Hali ambayo ilifanya taifa hilo kutafuta miungano ya mataifa mengine ambayo katika nyakati zale bora zaidi isingezingatia: moja wapo ni uhusiano wake mgumu na Irani. Ni mataifa yaliyogawanyika kwa masuala kadhaa, kuanzia kihistoria, kutokana na dhuluma ambayo Wairani wengi wanakumbuka kuwa waliteseka kutoka kwa Dola ya Urusi na Umoja wa Kisovieti, hadi kiuchumi, kwa vile wao ni wapinzani katika masuala ya nishati. Lakini uadui wao na nchi za Magharibi mara nyingi huwaleta pamoja Tangu aanzishe uvamizi wake nchini Ukraine, Rais wa Urusi Vladimir Putin amefanya safari tano nje ya nchi, zote zikipakana na mataifa ya zamani ya "stan" ya Soviet, isipokuwa safari yake ...
RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WATANZANIA WANAOISHI DOHA NCHINI QATAR
Kimataifa

RAIS SAMIA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA WATANZANIA WANAOISHI DOHA NCHINI QATAR

   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Watanzania wanaoishi Nchini Qatar (Diaspora) katika ukumbi wa Mandarin Oriental Doha tarehe 04 Oktoba, 2022.    Watanzania wanaoishi Nchini Qatar (Diaspora) wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani_ wakati akizungumza nao  katika ukumbi wa Mandarin Oriental Doha tarehe 04 Oktoba, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ahutubia katika Mkutano wa Ubunifu wa Afya Duniani (WISH), Doha nchini Qatar
Kimataifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ahutubia katika Mkutano wa Ubunifu wa Afya Duniani (WISH), Doha nchini Qatar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi wengine katika ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Afya Duniani (World Innovation Summit for Health) unaofanyika Doha nchini Qatar Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi wengine katika ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Afya Duniani (World Innovation Summit for Health) unaofanyika Doha nchini Qatar tarehe 04 Oktoba, 2022.                            Picha na Ikulu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan Amekutana na Kuzungumza na Kiongozi wa Kitaifa wa Qatar.Sheikh.Tamim bin Hamad Al Thani
Kimataifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan Amekutana na Kuzungumza na Kiongozi wa Kitaifa wa Qatar.Sheikh.Tamim bin Hamad Al Thani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Kiongozi wa Taifa la Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani, mara baada ya kuwasili kwenye Ofisi za Kiongozi huyo Doha nchini humo tarehe 04 Oktoba, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Kiongozi wa Taifa la Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani, Doha nchini humo tarehe 04 Oktoba, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan  akiwa kwenye mazungumzo na Muanzilishi na Mwenyekiti wa Wakfu wa Qatar (Qatar Foundation ) Sheikha Moza binti Nasser, Doha nchini Qatar tarehe 04 Oktoba, 2022.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Philip Mpango Ahutubia Mkutano wa GLOBAL FUND
Kimataifa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Philip Mpango Ahutubia Mkutano wa GLOBAL FUND

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa  Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa mataifa ulimwenguni kuungana katika kutoa mchango kwa mfuko wa kimataifa wa kupambana na Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria (Global Fund) ili uweze kufikia lengo la kukusanya kiasi cha dola za kimarekani bilioni 18 zitakazotumika kutokomeza  magonjwa hayo duniani kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo. Makamu wa Rais ametoa wito huo wakati akihutubia Mkutano wa saba wa kuwezesha mfuko wa kimataifa wa kupambana na Ukimwi, Kifua Kikuu na Malaria (Global Fund) uliofanyika New York nchini Marekani. Amesema Migogoro ya sasa ya kimataifa imepunguza juhudi za kurejesha uchumi wa nchi nyingi ulioathirika na janga la UVIKO19 na kuongeza changamoto mpya katika kufikia Malengo ya Maendeleo Endelevu hivyo hakun...