WATAKIWA KUJITOKEZA KUUNGA MKONO WATU WENYE ULEMAVU
NA ABDI SULEIMAN.
MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mbio za smile pemba marathon(spm) zinazotarajiwa kufanyika Mwezi Dimbemba mwaka huu Kisiwani Pemba.
(more…)