Friday, March 14
DC Micheweni awataka akinamama kutumia uzazi wa mpango kuimarisha afya zao, watoto
afya

DC Micheweni awataka akinamama kutumia uzazi wa mpango kuimarisha afya zao, watoto

NA ZUHURA JUMA  - PEMBA MKUU wa Wilaya Micheweni Mgeni Khatib Yahya amewataka akina mama wa vijiji vya shehia ya Tumbe Mashariki kujiunga na uzazi wa mpango, ili kuwanyonyesha watoto wao kwa kipindi cha miaka miwili kamili kwa ajili ya kujenga familia bora. Akiuzungumza na wananchi wa vijiji hivyo katika uzinduzi wa utowaji wa elimu ya afya na lishe alisema, uzazi wa mpango ni muhimu katika makuzi bora ya mtoto na mama. Alisema kuwa, suala la uzazi wa mpango kwa akina mama ni jambo muhimu sana kutokana na hali zao, kwani linawafanya watoto kuwa na afya njema, akili nzuri pamoja na makuzi bora sambamba na yeye kuimarisha afya yake kwa kupata mapumziko. ‘’Mama anapopumzika baada ya kujifungua anapata muda wa kupumzika, hivyo afya yake inaimarika na mtoto anapata kukua vizuri,...
WAFUGAJI samaki Pemba wataka Mahakama yao
Biashara

WAFUGAJI samaki Pemba wataka Mahakama yao

NA ABDI SULEIMAN, PEMBA. WAFUGAJI wa Samaki Kisiwani Pemba wamesema wakati umefika sasa na wao kuwa na mahakama yao maalumu, itakayoweza kuwatia hatiani wizi wanaoiba samaki kwenye mabwawa. (more…)