Sunday, September 8
Maalim Seif kukuza pato la mwani akiingia Ikulu tu
Kitaifa, Siasa

Maalim Seif kukuza pato la mwani akiingia Ikulu tu

MGOMBEA  wa urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya Chama cha ACT- Wazalendo maalim Seif Sharif Hamad, amesema endapo wananchi wa Zanzibar watamchaguwa na kumuweka madarakani,  atahakikisha wakulima wa mwani wanapata faida kwa kuweka bei nzuri ambayo itakidhi machungu ya kilimo hicho. Maalim Seif aliyaeleza hayo huko Tumbe wilaya ya Micheweni Pemba, wakati akizungumza na wakulima wa mwani pamoja na wavuvi wa eneo hilo, katika ziara yake kisiwani humo. Alieleza kuwa, wanunuzi wa mwani  wanakuwa wanawadhulumu  wakulima kwa kununua zao hilo kwa bei ya chini ya shilingi 600 kwa kilo moja. “Tukingia madarakani nitahakikisha Serikali yangu inawahudumia wakulima wa mwani, kwa kuwapatia vyombo ambavyo vitafika maji makubwa, ili waweze kulima mwani bora wa Cotonee ambao unabei kubwa katika...
Wanawake wanaweza, watizameni kwa jicho la maendeleo
Biashara, Kitaifa, Siasa, Wanawake & Watoto

Wanawake wanaweza, watizameni kwa jicho la maendeleo

Imeandikwa na Amina Ahmed – Pemba Walio Wengi wanafikiria ya kuwa mwanamke hawezi  kusimama  na kugombea nafasi  ya uwongozi katika jimbo iwe ya Uwakilishi, Ubunge Udiwani na nyadhifa nyengine lakini, Kuelekea  Uchaguzi Mkuu  October 28 mwaka huu 2020 baadhi ya wanawake wameweza kuonesha ujasiri wa kugombea nafasi za uongozi  majimboni  licha ya awali  kukabiliwa na changamoto ya virusi vya korona huku ikiwa ni mara ya kwanza kuingia katika mchakato wa kugombea  . Leo katika makala hii  maalum ya wanawake na uongozi  tutamuangalia  mjasiriamali mwanamke  alieamua kujitosa katika  Nyanja ya kisiasa na kufanikiwa   kugombea nafasi ya ubunge  katika jimbo la chake chake  Mkoa wa kusini Pemba kupitia chama cha cha wakulima  AAFP. Ni Fatma Doto Shauri Mkaazi wa Madungu chake chak...
Mashahidi waingia mitini Pemba, wasababisha kesi ya ubakaji kuondolewa
Kitaifa, Sheria, Wanawake & Watoto

Mashahidi waingia mitini Pemba, wasababisha kesi ya ubakaji kuondolewa

IMEANDIKWA NA ZUHURA JUMA, PEMBA Mahakama ya Mkoa Wete imeiondoa kesi namba 75 ya mwaka 2019 iliyokua inamkabili kijana Khamis Abdalla Khamis mwenye miaka 35 aliyetuhumiwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka kumi baada ya mashahidi kutofika Mahakamani. Akitoa uamuzi huo Mrajisi wa Mahakama kuu Pemba Abdul-razak Abdul-kadir Ali amesema, analiondosha shauri hilo chini ya kifungu cha 103 (9) cha sheria nambari 7 ya mwaka 2018. “Kifungu hiki kinanipa uwezo wa kuliondosha shauri ikiwa mashahihdi wameshindwa kufika mahakamani”, alisema Mrajis huyo. Alisema kuwa, upande wa mashitaka unaweza kulifungua tena shauri hilo iwapo watawapata mashahidi na na kuwapeleka mahakamani. “Upande wa mashitaka mtakapopata mashahidi wa kesi hii basi mnaweza kulirudisha tena lakini kwa leo nimelio...
DK. Shein : CCM haikukosea kumteua dk: Hussein Ali Mwinyi kugombea nafasi ya urais wa Zanzibar.
Kitaifa, Siasa

DK. Shein : CCM haikukosea kumteua dk: Hussein Ali Mwinyi kugombea nafasi ya urais wa Zanzibar.

NA HAJI NASSOR, PEMBA RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza Mapinduzi Mhe: dk: Ali Mohamed Shein, amesema CCM haikukosea kumteua dk: Hussein Ali Mwinyi kugombea nafasi ya urais wa Zanzibar, kwani anasifa ya uchapakazi uliotukuka, ambao wagombea wa vyama vyengine hawana. Dk: Shein, ameeleza hayo uwanja wa Gombani kongwe wilaya ya Chake Chake Pemba, alipokuwa akizungumza na mamia ya wanaCCM na wananchi wengine, kwenye uzinduzi wa kampeni kwa chama hicho, na kumnadi mgombea huyo wa urais wa Zanzibar. Alisema, CCM daima imekuwa ikiteua wagombea wake wa nafasi mbali mbali wenye sifa bora za kufanya kazi kwa nidhamu, uhodari na usiopendelea mtu wala kundi lolote, na kuwaomba wananchi kumchagua kwa kishindo mgombea huyo. Alieleza kuwa, mgombea huyo wa urais wa Zanzibar kwa ...
Mgombea ubunge Ole kupitia cha UMMA kuving’arisha vikundi vya wanawake akishinda
Kitaifa, Siasa, Wanawake & Watoto

Mgombea ubunge Ole kupitia cha UMMA kuving’arisha vikundi vya wanawake akishinda

IMEANDIKWA NA HAJI NASSOR, PEMBA MGOMBEA Ubunge wa Jimbo wa Ole kwa tiketi ya chama cha Ukombozi wa UMMA, Maryam Saleh Juma, amesema iwapo atapewa ridhaa ya kuliongoza jimbo hilo, atahakikisha vikundi vya ushirika vya wanawake anavipatia mitaji, na kuwa kimbilio kwa wengine wanaobeza. Alisema, bado kundi kubwa la wanawake wanaonekana kutoviunga mkono vikundi vya ushirika, kwa kule kukosa mitaji na mikopo yenye masharti nafuu, ambapo kama akipata ridhaa hilo ndio kipaumbele chake. Mgombea huyo ubunge ameyaeleza hayo, alipokuwa akizungumza na pembatoday, juu malengo na azma yake ya kuomba nafasi hiyo Jimboni humo. Alisema, hamu na ari yake ya kuwawezesha wanawake ipo ndani ya moyo wake, na ndani ya mwaka mmoja baada ya kuingia bungeni, wanawake wa Jimbo hilo watakuwa na maish...

Warning: file_get_contents(): http:// wrapper is disabled in the server configuration by allow_url_fopen=0 in /data/40/5/71/99/5397425/user/6768456/htdocs/portal/wp-content/plugins/xt-visitor-counter/xt-visitor-counter.php on line 48

Warning: file_get_contents(http://api.xtrsyz.org/xt-visitor-counter/default.php?domain=www.pembapress.club&time=1725764739): failed to open stream: no suitable wrapper could be found in /data/40/5/71/99/5397425/user/6768456/htdocs/portal/wp-content/plugins/xt-visitor-counter/xt-visitor-counter.php on line 48